Sunday, July 14, 2013

Sitaki wanaume wenye fedha- Jacqueline Wolper

                                                                  Jacqueline Wolper
Mwigizaji wenye aliyeshinda tuzo ya mwanamke mwenye mvuto  Jacqueline Wolper amesema hawapendi wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni wanaume za wanawake wengine sio rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.
"Unajua unapokuwa na mwanaume mwenye fedha wakati ni mume wa mwanamke mwingine, hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na kijana mwanzako hata kama hana fedha mtaweza kuongozana na kufurahia mapenzi wenu," alidai Diva huyo mwenye macho ya mvuto, sio kwa wanaume hata wanawake wenzake wametokea kumpenda.

No comments:

Post a Comment