Baada ya kuvuka mito, milima na mabonde hatimaye wasanii wawili wa fani tofauti, Hamisi Ramadhani a.k.a H Baba ambaye ni mwanamuziki wa miondoko ya tekeu na mwigizaji nyota wa sinema za kibongo maarufu kama Bongo Movie Flora Mvungi weekend hii waliamua wakate vilimi vya watu wanaongea mjini na kufanikiwa kutimiza ahadi yao ya kufunga ndoa.
Wote waliokuwa wakisema kama wawili hao hawataweza kufunga ndoa wamebaki kimya wakishindwa kuamini macho na masikio yao.
Flora akisaini hati ya ndoa
Flora akiwa katika send off yake
No comments:
Post a Comment