Saturday, July 13, 2013

Flora Mvungi amefunga na H. Baba

Baada ya kuvuka mito, milima na mabonde hatimaye wasanii wawili wa fani tofauti, Hamisi Ramadhani a.k.a H Baba ambaye ni mwanamuziki wa miondoko ya tekeu na mwigizaji nyota wa sinema za kibongo maarufu kama Bongo Movie Flora Mvungi  weekend hii waliamua wakate vilimi vya watu wanaongea mjini na kufanikiwa kutimiza ahadi yao ya kufunga ndoa.
Wote  waliokuwa wakisema kama wawili hao hawataweza kufunga ndoa wamebaki kimya wakishindwa kuamini macho na masikio yao.
                                                            Flora akisaini hati ya ndoa
                                                                Flora akiwa katika send off yake

No comments:

Post a Comment