Dokii katika pozi
Dokii akiwa jukwaani
Mwigizaji mjanja na wa kulenga na hatimaye kufanikiwa katika kila anachotarajia kufanya, Dokii amesema alikuwa mwanamuziki wa kwanza kufikiria kutunga na kuimba wimbo wa kumkaribisha rais wa Marekani Barack Obama aliyetembele nchini.
Ni wanamuziki wachache wenye upeo na ufahamu kutunga na maisha yanayoendana na matukio uhusika.
Kwa mujibu wa maelezo yake mbali ya kutunga na kuimba wa kumkaribisha Obama, pia anatarajia kutayarisha sinema itayozungumzia safari ya Obama nchini.
No comments:
Post a Comment