Sunday, July 14, 2013

Dokii ana upeo mkubwa wa kubuni katika sanaa

                                                                     
                                                                    Dokii  katika pozi
                                                                   Dokii akiwa jukwaani

Mwigizaji mjanja na wa kulenga na hatimaye kufanikiwa katika kila anachotarajia kufanya, Dokii amesema alikuwa mwanamuziki wa kwanza kufikiria kutunga na kuimba wimbo wa kumkaribisha rais wa Marekani Barack Obama aliyetembele nchini.
Ni wanamuziki wachache wenye upeo na ufahamu kutunga na maisha yanayoendana na matukio uhusika.
Kwa mujibu wa maelezo yake mbali ya kutunga na kuimba  wa kumkaribisha Obama, pia anatarajia kutayarisha sinema itayozungumzia safari ya Obama nchini.

No comments:

Post a Comment