Demi More
Mwigizaji maarufu duninia mwanadada Demi More anafikiria kuacha kuigiza na kufanya kazi ya kufundisha mazoezi ya ya viungo maarufu kama yoga. Demi amefikia hatua hiyo baada ya kupigwa talaka na aliyekuwa mume wake.
Mwanadada huyo alipigwa talaka baada ya kukubali mwenye bila ya kulazimishwa kama alikuwa na tabia ya kutoka nje ya ndoa yake.
No comments:
Post a Comment