Sunday, July 14, 2013

Jacob Stephen .a.k.a JB amebeba ubalozi wa Oxfam


                                                                       Jacob Stephen
Mwigizaji nyota wa sinema za kibongo, Jacob Stephen maarufu kama kwa jina la JB, amechaguliwa kuwa Balozi wa Oxfam katika kampeni inayoitwa Grow.
" Nashukuru kupewa nafsi ya bolazi wa Oxfam kazi ambayo nimekuwa nikiifikiria siku zote, inahusu kuwasaidia weye matatizo ya chakula hasa watoto,"alisema JB anayetamba katika tasnia ya sinema hivi sasa, na kuwafunika waigizaji wengi wa kiume kwa kuigiza kwa kiwango cha hali ya juu. Amefanikiwa kuwa kipenzi cha watoto.




No comments:

Post a Comment