Thursday, July 18, 2013

Sura ya Van Vicker yapagawisha mademu

                                                                      
                                       Van Vicker akiwa na mkewe pamoja na watoto zao
Lagos, Nigeria
Licha ya kupewa heshima kubwa ya kushiriki katika mambo mbali mbali ya kijamii ya ndani na nje ya nchini ya Ghana, mwigizaji maarufu katika anga la sinema za kiafrika. Mghana Van Vicker ametokea kuwa kivutio kikubwa kwa mademu kutokana na sura yake nzuri aliyojaaliwa na mwenyezi mungu.
Mghana ametokea kuwachengua waigizaji wenzake wa kike mpaka mashabiki wanaoangalia sinema zake.
Hata hivyo mwenyewe anadai kilichompeleka Nigeria ni kazi sio mademu. Van Vicker amefanya kweli katika sinema ya Beyonce - The President daughter. 

No comments:

Post a Comment