Sunday, July 14, 2013

Snura Mushi kuibuka ndani muvi mpya

                                                                        Snura Mushi
Mwigizaji wa kike na mwimbaji wa muziki wenye midundo ya kipwani yaani mduara, Snura Mushi aliyetamba sana katika tamthilia ya Jumba la dhahabu na sinema mbali mbali, amefunguka na kudai kwamba muziki umempa dili la kwenda kurekodi filamu Afrika ya kusini.
Amesema watayarishaji wa sinama ya Tandeka iliyorekodiwa jijini Pretoria, walimshirikisha kutokana na kufanya vizuri kwa wimbo wake wa Majanga. katika sinema hiyo ametumia lugfha ya kiswahili, kizulu na kiingereza.

No comments:

Post a Comment