Showing posts with label Wolper. Show all posts
Showing posts with label Wolper. Show all posts

Friday, November 28, 2014

Jacky Wolper mkali wa mapozi kuliko wenzake nchini Tanzani

                                                                
                                                   Wolper  pozi hili kama sio yeye
                                                              Wolper, hapa utakubali yeye
                                                       Wolper, na hapa mnasemaje alivyopozi
                                                           Hapa unasemaje jamani
                                                         Ametulia kama hataki kuongea
                                                 Anaonekana ana mawazo vile.

Tukubali au tubishe ukweli utabaki vile ulivyo kama mwanadada Jacky Wolper  ni mwigizaji wenyewe mapozi ya kipekee,  mapozi yake yanamuongeze mvuto wa hali ya juu katika picha zake anazopiga mara kwa mara. Baadhi ya watu wamesikika wakisema kwamba Wolper ni mkali wa mapozi katika upigaji wa picha tofauti  kuliko waigizaji wenzake. Na ndiyo maana aliweza kuchukua ushindi wa mwanamke mwenye mvuto. Hebu tazama picha hizi utagundua kama huyu binti ni mkali wa mapozi.

Sunday, July 14, 2013

Sitaki wanaume wenye fedha- Jacqueline Wolper

                                                                  Jacqueline Wolper
Mwigizaji wenye aliyeshinda tuzo ya mwanamke mwenye mvuto  Jacqueline Wolper amesema hawapendi wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni wanaume za wanawake wengine sio rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.
"Unajua unapokuwa na mwanaume mwenye fedha wakati ni mume wa mwanamke mwingine, hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na kijana mwanzako hata kama hana fedha mtaweza kuongozana na kufurahia mapenzi wenu," alidai Diva huyo mwenye macho ya mvuto, sio kwa wanaume hata wanawake wenzake wametokea kumpenda.