Showing posts with label Wolper. Show all posts
Showing posts with label Wolper. Show all posts
Friday, November 28, 2014
Jacky Wolper mkali wa mapozi kuliko wenzake nchini Tanzani
Wolper pozi hili kama sio yeye
Wolper, hapa utakubali yeye
Wolper, na hapa mnasemaje alivyopozi
Hapa unasemaje jamani
Ametulia kama hataki kuongea
Anaonekana ana mawazo vile.
Tukubali au tubishe ukweli utabaki vile ulivyo kama mwanadada Jacky Wolper ni mwigizaji wenyewe mapozi ya kipekee, mapozi yake yanamuongeze mvuto wa hali ya juu katika picha zake anazopiga mara kwa mara. Baadhi ya watu wamesikika wakisema kwamba Wolper ni mkali wa mapozi katika upigaji wa picha tofauti kuliko waigizaji wenzake. Na ndiyo maana aliweza kuchukua ushindi wa mwanamke mwenye mvuto. Hebu tazama picha hizi utagundua kama huyu binti ni mkali wa mapozi.
Sunday, July 14, 2013
Sitaki wanaume wenye fedha- Jacqueline Wolper
Jacqueline Wolper
Mwigizaji wenye aliyeshinda tuzo ya mwanamke mwenye mvuto Jacqueline Wolper amesema hawapendi wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni wanaume za wanawake wengine sio rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.
"Unajua unapokuwa na mwanaume mwenye fedha wakati ni mume wa mwanamke mwingine, hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na kijana mwanzako hata kama hana fedha mtaweza kuongozana na kufurahia mapenzi wenu," alidai Diva huyo mwenye macho ya mvuto, sio kwa wanaume hata wanawake wenzake wametokea kumpenda.
Mwigizaji wenye aliyeshinda tuzo ya mwanamke mwenye mvuto Jacqueline Wolper amesema hawapendi wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni wanaume za wanawake wengine sio rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.
"Unajua unapokuwa na mwanaume mwenye fedha wakati ni mume wa mwanamke mwingine, hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na kijana mwanzako hata kama hana fedha mtaweza kuongozana na kufurahia mapenzi wenu," alidai Diva huyo mwenye macho ya mvuto, sio kwa wanaume hata wanawake wenzake wametokea kumpenda.
Subscribe to:
Posts (Atom)




