Friday, November 28, 2014
Chike Ike akitesa Dubai kwa raha zake, Mambo ya fedha
Chike Ike kwenye boti
Chike Ike akiburudika na kahawa
Chike Ike akipata mchana mwema
wakiwa ndani bori
Chike akiwa kwenye fukwe
Chike akiwa kwe boti
Marehemu Marijani Rajabu aliyekuwa mwanamuzki wa Dar Intenatinal aliwahi kuimba pesa ni sabuni ya roho. Mwenye pesa akifika watu wote wanasimama kila analosema watu wanalipa uzito hata kama ni wazo la kijinga. Ndiyo ilivyokuwa kwa muigizaji wa Nigeria, Chika Ike akitumia fedha anavyotaka katika fukwe ya jiji Dubai ambapo unaambiwa alikodi boat kwa dola elfu 24,000 kwa muda wa siku mbili tu, na kila alilosema alisikilizwa na lilitekelezwa kwa kasi ya ajabu. PESA ni mfalme wa dunia, ukibisha wewe bisha lakini ndio ukweli wenyewe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment