Friday, November 28, 2014
Mkali wa Home alone Macaulay Culkin hajafa
Macaulay Culkin alivyokuwa mdogo
Macaulay Culkin alivyokuwa sasa baada ya kutumia madawa ya kulevya
Macaulay Culkin alivyoanza kujitumbukiza katika madawa ya kulevya
Macaulay Culkin katika pozi la kilevi
Macaulay Culkin alivyokuwa mdogo
Yule makali wa sinema iliyojipatia umaarufu mkubwa ya home alone , Macaulay Culkin na pia ni mwanamuziki ameibuka na kufuta tetesi zilisambaa kwamba amefariki dunia. Hivi karibuni kuliibuka tetesi za kufariki mkwake licha ya kutokuwa na ufafanuzi wa kina kuhusiana na chanzo cha kifo chake. Taarifa za kifo chake zilienea katika mitandao ya kijamii, baada taarifa hiyo. Dodo huyo aliibuka ana kusema "Tuko kwenye ziara ya kimuziki nyinyi wajinga, hakuna aliyekufa." Ujumbe ulikuwa na picha inayomuonyesha akiwa rafiki zake ameshika kinywaji akiburudika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment