Friday, November 28, 2014

Mkali wa Home alone Macaulay Culkin hajafa







                                                                  
                                                       Macaulay Culkin alivyokuwa mdogo
                                 Macaulay Culkin alivyokuwa sasa baada ya kutumia madawa ya kulevya
                               Macaulay Culkin alivyoanza kujitumbukiza katika madawa ya kulevya
                                                     Macaulay Culkin katika pozi la kilevi
                                                      Macaulay Culkin alivyokuwa mdogo
                                                           
Yule makali wa sinema iliyojipatia umaarufu mkubwa ya home alone , Macaulay Culkin na pia ni mwanamuziki ameibuka na kufuta tetesi zilisambaa kwamba amefariki dunia. Hivi karibuni kuliibuka tetesi za kufariki mkwake licha ya kutokuwa na ufafanuzi wa kina kuhusiana na chanzo cha kifo chake. Taarifa za kifo chake zilienea katika mitandao ya kijamii,  baada taarifa hiyo. Dodo huyo aliibuka ana kusema "Tuko kwenye ziara ya kimuziki nyinyi wajinga, hakuna aliyekufa."  Ujumbe ulikuwa na picha inayomuonyesha akiwa rafiki zake ameshika kinywaji akiburudika.

No comments:

Post a Comment