.
Kufundoa na mbwa
Binti amefunga ndoa na mbwa kwa ajili ya kuondoa mikosi na majanga ya
kimaisha, harusi hiyo imefanyika hadharani bila ya kuficho chochote.
Wazazi wa mwanamke wafurahia kama vile binti yao ameolewa na mtoto wa
tajiri namba moja duniani. Hebu niambie duniani inaelekea wapi?
Tutafakari na kumrudia mungu wangu kwa kufanya ibada ya kweli na sio
ibada za kinafiki. Hatuwezi kujua lini duniani itafika mwisho kama
vitabu vya dini vinavyosema.
No comments:
Post a Comment