Friday, January 30, 2015

Mwigizaji raia wa Uingereza Dave Legeno amefariki

Mwigizaji raia wa Uingereza aliyecheza series za Harry Potter ‘Dave Legeno’ amekutwa amekufa jijini California, kwa mujibu wa The Hollywood Reporter. Dave Legeno, mwenye umri wa miaka 50, alikutwa akiwa amepoteza maisha siku ya Jumapili na mwili wake kuchukuliwa na helicopter.

No comments:

Post a Comment