Mwigizaji raia wa Uingereza aliyecheza series za Harry Potter ‘Dave
Legeno’ amekutwa amekufa jijini California, kwa mujibu wa The Hollywood
Reporter. Dave Legeno, mwenye umri wa miaka 50, alikutwa akiwa amepoteza
maisha siku ya Jumapili na mwili wake kuchukuliwa na helicopter.
No comments:
Post a Comment