Watu wengi maarufu kama vile waigizaji wa sinema na wanamuziki wanaongoza kuwa na maradhi au tabia ya kupenda kutembea uchi, kitaalamu inaitwa Exhibitonism. Wataalamu wa saikolojia wanasema maradhi hayo yanatawaliwa zaidi na akili, hayawezi kutibika kwa vidonge zaidi ya ushauri nasaha.
Wema
Linah
Ni maradhi au tabia ambayo mtu huona raha kuonekana sehemu zake za mwili zisizotakiwa kuonekana hadharani. Watu wa aina hiyo ni wale wanaopenda kuvaa vinguo vifupi kupita kiasi, na kutembea mitaani bila ya kuona aibu. Au kufanya maonyesho ya burudani katika shoo, katika sherehe mbali mbali za utoaji tuzo na katika video za muziki.
Aunty Ezekiel
Shilole
Mtu mwenye maradhi au tabia hiyo, kitaalamu anaitwa Exhibitionist. Tabia au maradhi ya kuwa na wendawazimu wa kupenda kuvaa nguo fupi sana, au kuvaa nusu uchi.
Ndauka
Lulu
Hivi sasa yameanza kuingia kwa kasi zaidi katika jamii yetu. Waigizaji na wanamuziki wa kitanzania wametokea kuvaa mavazi ya nusu uchi.
Ini Edo
Hamisa
Uwoya
No comments:
Post a Comment