Sunday, February 1, 2015

MAZIKO YA MUNA OBIEKWE KUFANYIKA KESHO FEBRUARI 3, 201


                                                   Muna Obiekwe enzi za uhai wake

                         Moja ya sinema aliyoshiriki kucheza Muna Obiekwe

                                          Sinema nyingine aliyoshiriki kucheza Muna Obiekwe

                                             Kitu kingine alichosiriki  Muna Obiekwe


Kwa mujibu wa maelezo ya rais wa chama cha waigizaji Nigeria (AGN), Ibinabo Fiberesima ametangaza ratiba kamili ya mazishi ya mwigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe.  Mwigizaji huyo alifariki dunia Januari 18, 2015 baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu. Ibinabo Fiberesima amesema maziko ya Muna yanatarajia kufanyika  kesho,  Februari 3, mwaka huu katika eneo la Umudioka, Jimbo la Anambra nchini Nigeria.  wapenzi na mashabiki sambamba na waigizaji wnzake watakutana  Marsha eneo la makutano ya Surulere kisha kuelekea Uwanja wa Ojez. Mavazi yatakuwa ni tisheti nyeupe ambazo zitatolewa eneo hilo.

No comments:

Post a Comment