Muna Obiekwe enzi za uhai wake
Moja ya sinema aliyoshiriki kucheza Muna Obiekwe
Sinema nyingine aliyoshiriki kucheza Muna Obiekwe
Kitu kingine alichosiriki Muna Obiekwe
Kwa mujibu wa maelezo ya rais wa chama cha waigizaji Nigeria (AGN), Ibinabo Fiberesima ametangaza ratiba kamili ya mazishi ya mwigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe. Mwigizaji huyo alifariki dunia Januari 18, 2015 baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu. Ibinabo Fiberesima amesema maziko ya Muna yanatarajia kufanyika kesho, Februari 3, mwaka huu katika eneo la Umudioka, Jimbo la Anambra nchini Nigeria. wapenzi na mashabiki sambamba na waigizaji wnzake watakutana Marsha eneo la makutano ya Surulere kisha kuelekea Uwanja wa Ojez. Mavazi yatakuwa ni tisheti nyeupe ambazo zitatolewa eneo hilo.
No comments:
Post a Comment